MAELEZO YA KUJIUNGA NA MTWANGONET

SIFA ZA MUOMBAJI

  • Asasi yoyote iliyosajiliwa na inayofanya kazi wilaya ya Mtwara.
  • Iwe inatambulika na mamlaka ya serikali ngazi ya mkoa, Wilaya na Halmashauri.
  • Inayozingatia sheria na kufanya kazi halali kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
  • Iwe na ofisi inayofunguliwa.
  • Iwe na wanachama.
  • Iwe na nyaraka muhimu kama vile katiba, cheti cha usajili na uongozi.

GHARAMA ZA KUJIUNGA NA UANACHAMA

  • Fomu ya kujiunga: Tshs. 5,000/= (Hulipwa mara moja tu).
  • Ada ya maombi: Tshs. 25,000/= (Hulipwa mara moja tu).
  • Ada ya Mwaka: Tshs. 40,000/= (Hulipwa kila mwaka).
  • Jumla ya Malipo: Tshs. 70,000/=.

Malipo yafanyike kupitia:

Account Name: MTWANGONET
Bank Name: EXIM BANK
Account Number: 0020015044
Branch: MTWARA
Currency: Tanzania Shilling (TZS)
Swift Code: EXTNTZTZ

Wasilisha risiti ya malipo ofisini au tuma kwa email: mtwangonet@hotmail.com.

FOMU YA KUOMBA UANACHAMA WA MTWANGONET